2 Chronicles 11:1

Utabiri Wa Shamaya

(1 Wafalme 12:21-24)

1 aIkawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na ya Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.

Copyright information for SwhNEN